MARADHI YASIYOONEKANA HOSPITAL +255 765 096 628
MARADHI YASIYOONEKANA HOSPITAL +255 765 096 628 MARADHI YASIYOONEKANA HOSPITAL Katika mada hii nitakufundisha ni yapi maradhi ya sehemu za mwili ambapo mashetani wakikukumba wanaanza kusumbua na kukutesa kisiri siri kwa kujua au bila kujua. Maradhi haya kwa maana nyingine hujulikana kama kukumbwa na Mapepo au kukumbwa na nuksi au uchawi wenye kuleta magonjwa, Haya tunayajua vipi? Kutoka kwenye hadithi maarufu ya Mtoto wa Mfalme Suleiman Bin Daud au (King Solomon Son of David) mfalme huyu katika hadithi za zama zake aliwahi mtoto wake kuugua maradhi haya ya kichawi na inahadithiwa kuwa maradhi hayo aliyowahi kuwa nayo yalikuwa yanamletea mateso ya kuhama hama, maradhi ya kuhama au ketembea mwilini ni maarufu sana zama hizi na huunganishwa na uchawi na hujulikana kama uchawi wa kumtesa mtu aliyekwenda kinyume na matakwa ya mashetani au shetani aliyemvaa. Maradhi haya yanapomkumba mtu huwa yanatembea mwilini kwake na kusababisha sehemu nying...